Опубликовано Опубликовано Oleg Shukalovich
1. Kwa wakati huo Wakristo walikuwa wamezoea tayari toleo la Kigiriki la maandiko matakatifu yaliyotafsiriwa katika karne ya 2 KK ambalo linajulikana kwa jina la Septuaginta na kuwa na vitabu kadhaa visivyokuwa vimetunzwa katika lugha asili ya Kiebrania wala ya Kiaramu, au vilivyoandikwa moja kwa moja katika lugha ya Kigiriki.
2. Kimsingi vitabu vya Agano la Kale ni vilevile vya Biblia ya Kiebrania, ingawa madhehebu ya Kikristo hutofautiana kidogo katika hilo.
3. Vitabu vyake vimo katika sehemu ya kwanza ya Biblia ya Kikristo kwa jina la "Agano la Kale".
4. Hutofautishwa na Tanakh ambayo ndiyo maandiko matakatifu ya dini ya Uyahudi na ambayo pengine inatajwa kwa jina lilelile la "Biblia", hasa katika matoleo ya Biblia ya Kiebrania .
5. Hivyo Biblia ya Kikristo ilikuwa na vitabu 7 (viwili vya Wamakabayo, Yoshua bin Sira, Hekima, Tobiti, Yudith na Baruku, pamoja na sehemu za Esta na Danieli) visivyokubaliwa baadaye na Wayahudi.
6. Maandiko hayo mbalimbali yanaitwa tangu zamani sana "vitabu" tu, inavyomaanishwa na neno "biblia" ambalo ni uwingi wa neno la Kigiriki "biblos" yaani "kitabu".
7. Agano la Kale lina maandiko yaliyoandikwa kabla ya Yesu Kristo na vitabu vya Agano Jipya viliandikwa baada yake.
8. Vitabu hivyo 7 vikaja kukataliwa na Martin Luther katika karne ya 16, halafu na Waprotestanti wengi, lakini vinazidi kutumiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kwa jina la Deuterokanoni.
9. Biblia ya Kikristo hugawiwa sehemu mbili ambayo ni Agano la Kale na Agano Jipya.
10. Ni kwamba wakati wa kutokea kwa Ukristo palikuwa na tofauti ndani ya Uyahudi kuhusu vitabu vilivyohesabiwa kuwa maandiko matakatifu.
11. Biblia ya Kikristo ni mkusanyo wa maandiko matakatifu ya Ukristo.
Проверить совместимые приложения для ПК или альтернативы
заявка | Скачать | Рейтинг | Разработчик |
---|---|---|---|
![]() |
Получить приложение или альтернативы ↲ | 316 4.86
|
Oleg Shukalovich |
Или следуйте инструкциям ниже для использования на ПК :
Выберите версию для ПК:
Требования к установке программного обеспечения:
Доступно для прямой загрузки. Скачать ниже:
Теперь откройте приложение Emulator, которое вы установили, и найдите его панель поиска. Найдя его, введите Biblia Takatifu-Swahili Bible в строке поиска и нажмите «Поиск». Нажмите на Biblia Takatifu-Swahili Bibleзначок приложения. Окно Biblia Takatifu-Swahili Bible в Play Маркете или магазине приложений, и он отобразит Store в вашем приложении эмулятора. Теперь нажмите кнопку «Установить» и, например, на устройстве iPhone или Android, ваше приложение начнет загрузку. Теперь мы все закончили.
Вы увидите значок под названием «Все приложения».
Нажмите на нее, и она перенесет вас на страницу, содержащую все установленные вами приложения.
Вы должны увидеть . Нажмите на нее и начните использовать приложение.
Получить совместимый APK для ПК
Скачать | Разработчик | Рейтинг | Текущая версия |
---|---|---|---|
Скачать APK для ПК » | Oleg Shukalovich | 4.86 | 3.1 |
Скачать Biblia Takatifu-Swahili Bible для Mac OS (Apple)
Скачать | Разработчик | рецензия | Рейтинг |
---|---|---|---|
Free для Mac OS | Oleg Shukalovich | 316 | 4.86 |
Arabic Audio Bible Scripture
Dictionnaire de la Bible
KJV Bible Dictionary Offline.
Diccionario Bíblico en Español
Bible Dictionary and Glossary
ЛитРес: Читай и Слушай онлайн
Wattpad
Книги и аудиокниги MyBook
Storytel — аудиокниги 0+
Лабиринт.ру — книжный магазин
eBoox - Читалка книг fb2 ePub
Книги без Интернета 2021
FBReader: читалка fb2, ePub
Взахлёб. Читай и слушай
Слушай аудиокниги
Bookmate. Книги и аудиокниги
Аудиокниги от Patephone
Литнет – Электронные Книги
Слушай аудиокниги.
Epub Читалка - читать chm,txt