أرسلت بواسطة أرسلت بواسطة Oleg Shukalovich
1. Kwa wakati huo Wakristo walikuwa wamezoea tayari toleo la Kigiriki la maandiko matakatifu yaliyotafsiriwa katika karne ya 2 KK ambalo linajulikana kwa jina la Septuaginta na kuwa na vitabu kadhaa visivyokuwa vimetunzwa katika lugha asili ya Kiebrania wala ya Kiaramu, au vilivyoandikwa moja kwa moja katika lugha ya Kigiriki.
2. Kimsingi vitabu vya Agano la Kale ni vilevile vya Biblia ya Kiebrania, ingawa madhehebu ya Kikristo hutofautiana kidogo katika hilo.
3. Vitabu vyake vimo katika sehemu ya kwanza ya Biblia ya Kikristo kwa jina la "Agano la Kale".
4. Hutofautishwa na Tanakh ambayo ndiyo maandiko matakatifu ya dini ya Uyahudi na ambayo pengine inatajwa kwa jina lilelile la "Biblia", hasa katika matoleo ya Biblia ya Kiebrania .
5. Hivyo Biblia ya Kikristo ilikuwa na vitabu 7 (viwili vya Wamakabayo, Yoshua bin Sira, Hekima, Tobiti, Yudith na Baruku, pamoja na sehemu za Esta na Danieli) visivyokubaliwa baadaye na Wayahudi.
6. Maandiko hayo mbalimbali yanaitwa tangu zamani sana "vitabu" tu, inavyomaanishwa na neno "biblia" ambalo ni uwingi wa neno la Kigiriki "biblos" yaani "kitabu".
7. Agano la Kale lina maandiko yaliyoandikwa kabla ya Yesu Kristo na vitabu vya Agano Jipya viliandikwa baada yake.
8. Vitabu hivyo 7 vikaja kukataliwa na Martin Luther katika karne ya 16, halafu na Waprotestanti wengi, lakini vinazidi kutumiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kwa jina la Deuterokanoni.
9. Biblia ya Kikristo hugawiwa sehemu mbili ambayo ni Agano la Kale na Agano Jipya.
10. Ni kwamba wakati wa kutokea kwa Ukristo palikuwa na tofauti ndani ya Uyahudi kuhusu vitabu vilivyohesabiwa kuwa maandiko matakatifu.
11. Biblia ya Kikristo ni mkusanyo wa maandiko matakatifu ya Ukristo.
تحقق من تطبيقات الكمبيوتر المتوافقة أو البدائل
التطبيق | تحميل | تقييم | المطور |
---|---|---|---|
![]() |
احصل على التطبيق أو البدائل ↲ | 316 4.86
|
Oleg Shukalovich |
أو اتبع الدليل أدناه لاستخدامه على جهاز الكمبيوتر :
اختر إصدار الكمبيوتر الشخصي لديك:
متطلبات تثبيت البرنامج:
متاح للتنزيل المباشر. تنزيل أدناه:
الآن ، افتح تطبيق Emulator الذي قمت بتثبيته وابحث عن شريط البحث الخاص به. بمجرد العثور عليه ، اكتب اسم التطبيق في شريط البحث واضغط على Search. انقر على أيقونة التطبيق. سيتم فتح نافذة من التطبيق في متجر Play أو متجر التطبيقات وستعرض المتجر في تطبيق المحاكي. الآن ، اضغط على زر التثبيت ومثل على جهاز iPhone أو Android ، سيبدأ تنزيل تطبيقك. الآن كلنا انتهينا. <br> سترى أيقونة تسمى "جميع التطبيقات". <br> انقر عليه وسيأخذك إلى صفحة تحتوي على جميع التطبيقات المثبتة. <br> يجب أن ترى رمز التطبيق. اضغط عليها والبدء في استخدام التطبيق. Biblia Takatifu-Swahili Bible messages.step31_desc Biblia Takatifu-Swahili Biblemessages.step32_desc Biblia Takatifu-Swahili Bible messages.step33_desc messages.step34_desc
احصل على ملف APK متوافق للكمبيوتر الشخصي
تحميل | المطور | تقييم | الإصدار الحالي |
---|---|---|---|
تحميل APK للكمبيوتر الشخصي » | Oleg Shukalovich | 4.86 | 3.1 |
تحميل Biblia Takatifu-Swahili Bible إلى عن على Mac OS (Apple)
تحميل | المطور | التعليقات | تقييم |
---|---|---|---|
Free إلى عن على Mac OS | Oleg Shukalovich | 316 | 4.86 |
Arabic Audio Bible Scripture
Dictionnaire de la Bible
KJV Bible Dictionary Offline.
Diccionario Bíblico en Español
Bible Dictionary and Glossary
القرآن الكريم كاملا دون انترنت
Golden Quran | المصحف الذهبي
القرآن الكريم - مصحف المدينة
Storytel: Audiobooks & Ebooks
Wattpad - Read & Write Stories
القران الكريم كاملا بدون نت
قران كريم بدون انترنت
Khatmah - ختمة
اقرأ لي - كتب مسموعة
أبجد: كتب - روايات - قصص عربية
Quran - Mushaf Mecca مصحـف مكة
Dreame - Read Best Romance
Kotobi
Goodreads: Book Reviews
Google Play Books